UTANGULIZI Shirika la Meli ni Taasisi ya umma inayomilikiwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa asilimia mia moja. Shirika lilianzishwa upya kwa Sheria nambari 3 ya mwaka 2013 ambayo pamoja na mambo mengine lilipewa jukumu la kusimamia, kutunza na kuendesha Meli za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Hadi hivi sasa, Serikali kupitia Shirika la Meli inamiliki …
Continue reading "Taarifa ya hatua za mchakato wa uuzaji wa meli 3 za Serikali"